Matumizi ya internet yamekuwa yakiongezeka kila kukicha na gharama pia zimekuwa zikiongezeka  kutokana matumizi makubwa internet.Karibu kila mtu anayekaa mjini anamiliki simu ya android, windows au iphone ambazo zinaongoza katika matumizi ya internet kwa sasa ni kama whatsApp Facebook Instargram, twitter n.k..Kutokana una uhitaji huu mkubwa unaweza kuchangamkia  hii fursa na kuwa Bilionea siku chache zijazo.

Dondoo muhimu kuanzisha hii biashara
  • Uwe maeneo yenye watu wengi.
  • Laptop ama Desktop moja.
  • Uwe na ujuzi kidogo wa computer (cisco certificate miezi sita).
  • Uwe na mtaji wa kununua vifaa vya wireless (laki tano inatosha kuanzia),
  • Kufunga mtambo.
  • Chagua kampuni utakayonunua Bando yenye kubwa mfano TTCL, HaloTel, Smile  
  • Kujitangaza kwa watumiaji.
  • Kumiliki watumiaji kutokana na ada wanalipa
Tayari unaweza kuanza kuuza data(internet kwa watu).
      summary ya faida 
  1.  eneo dar es salam   
  2.  bando TTCL kwa mwezi 80000TSH unlimited
  3.  idadi ya watumiaji  300    
  4. ada ya huduma kwa mwezi 4500Tsh (150Tsh  tu kwa siku RAHISI SANA)  
mapato 
   kwa mwezi  300*4500  =1.350,000Tsh kutoka kwa watu 300 

Jiajiri sasa
IDADI YA WATUMIAJI WA INTERNET  AFRICA MASHARIKI




                                 


               


                                         Imetolewa na nternetworldstats